Aliyekuwa
Miss Tanzania 1999, ambaye pia ni Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano
wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania Hoyce Temu akipozi mara baada ya
kulamba Nondozzz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya Umma katika
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine jijini Mwanza.
Pongezi
pia ziende kwa Dada Lulu Musa Afisa Uhusiano wa Ofisi ya Makamu wa Rais
Mazingira kwa kulamba Nondozz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya
Umma katika chuo cha St. Augustine University kwenye mahafali ya 15 ya
chuo hicho yaliyofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa Juma.
Hoyce Temu akiondoka eneo la tukio na furaha isiyo na kifani.
0 comments:
Chapisha Maoni